Friday , 19 April 2024

Day: August 2, 2017

Habari za Siasa

Kubenea azidi kuchanja mbuga, mtaa kwa mtaa

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), leo ameendelea na ziara yake ya kukagua uhai wa chama chake na kutembelea wananchi wake katika jimbo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yawapigia debe maskini Kahama

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Albert Msovela amewataka wananchi wa kijiji cha Iyenze kata Iyenze  wilayani  Kahama mkoani Shinyanga kuhakikisha wanawasaidia wanzeo...

Afya

Kigwangalla atoa siku 90 kuboreshwa chumba cha upasuaji 

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Dk. Hamis Kigwangala ametoa miezi mitatu  kwa halmashauri ya mji wa Kahama...

Kimataifa

Marekani na Korea wazidi kuvimbiana

Rex Tellerson, Waziri wa Mambo ya Kigeni  Nchini Marekani amejibu juu ya jaribio la pili la kombora la masafa marefu lililofanywa na Korea Kaskazini,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbivu na mbichi wabunge wa CUF kujulikana Agost 4

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania inatarajia kutoa uamuzi kuhusiana na mapingamizi yaliyotolewa na upande wa serikali katika kesi iliyofunguliwa na wabunge nane wa Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Meya Jacob kama Lissu,  amparura Magufuli

BONIPHACE   Jacob, Mstahiki Meya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaama amemtaka Rais John Magufuli, Rais wa Jamuhuri ya Muungano  kuwakemea...

Habari Mchanganyiko

Lugha ya Kichina yasababisha mgomo kampuni ya ujenzi

MGOMO wa wafanyakazi zaidi ya 290 wa Kampuni ya Kimataifa ya Geo Engineering ya China inayotekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa barabara ya...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji madini wapewa somo

WACHIMBAJI wadogo wa madini wametakiwa kuzingatia taratibu za kitalaam wakati wa uchimbaji ili kuepuka ajali  maeneo hayo, anaandika Mwandishi wetu. Haya yamebainishwa na...

Michezo

Barcelona wakubali kumwachia Neymar

KLABU ya Barcelona imemuachia nyota wake Neymar kuondoka katika timu hiyo na kujiunga na Paris St. German (PSG) kwa kitita cha pauni 198...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waanza kuelewa somo

MADEREVA wa Bodaboda katika jiji la Dar es Salaam wameonekana kuanza kuelewa umuhimu wa matumizi wa kofia ngumu wakati wa kuendesha usafiri huo,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaombwa kusaidia wafugaji Ngamia

SERIKALI imeombwa kuwatambua wafugaji wa Ngamia na kusaidia kuwapunguzia gharama za kuwafuga kwa kuwa wana faida zaidi kuliko wanyama wengine, anaandika Dany Tibason....

Habari Mchanganyiko

Profesa Maghembe atoa neno Morogoro

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amewahimiza viongozi kuanzia ngazi ya mkoa, wilaya hadi vijiji kuhakikisha wanasimamia uwepo wa bei nzuri...

Makala & Uchambuzi

Wadau wasisitiza kutunza amani Kenya

WITO wa amani umeendelea kutolewa kwa wananchi nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu, ili kuepusha machafuko yaliyozuka katika uchaguzi wa mwaka 2007, anaandika Catherine...

error: Content is protected !!