WATU waliofunga ndoa na kuunganika kuwa kama mwili mmoja na kuepukana na masuala ya kufanya ngono zembe, imebainishwa wao kwa sasa ndio wamekuwa...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017FAMILIA mbili za Kijiji cha Mureru, Kata ya Lalaji, wilayani Hanang’ zimedasi kuishi kwa kuhofia maisha yao baada ya kutengwa na jamii kijijini...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, limewanufaisha kwa elimu ya malezi ya maadili mema zaidi ya vijana 6,000 itakayowawezesha kuwa na utu na...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017ALGERIA imesema haitachukua mkopo wa kigeni licha ya nchi hiyo kukabiliwa na matatizo mengi ya ndani hususani ya kiuchumi, anaandika Victoria Chance. Uchumi...
By Masalu ErastoJuly 31, 2017SERIKALI imeshauriwa kuja na “mpango mkakati” wa namna itakavyorekebisha uchumi wa taifa ambao kwa maneno ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), “unaporomoka...
By Hamisi MgutaJuly 31, 2017WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwakamata mara moja, kuwahoji na kuwafikisha mahakamani watendaji wakuu 12...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017HALMASHAURI ya wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya imesema kuwa ili kupunguza adha ya Nyumba za kuishi kwa Watumishi wa Halmashauri hiyo,Baraza la Madiwani...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017MGOGORO wa kugombea mpaka kwa wakaazi wa Kijiji cha Momella, Kata ya Ngarenanyuki wilayani Arumeru na Hifadhi ya Taifa ya Arusha (Anapa) umechukua...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017KATIBU mwenezi wa jimbo la Masasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilayani Masasi mkoani Mtwara, Patrick Jacobo (48) amefariki dunia ghafla...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017JIJI la Dar es Salaam linaongoza kwa matukio ya mauaji yatokanayo na watu kujichukulia sheria mkononi yaliyofikia 117 katika kipindi cha nusu mwaka...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017AMRI ya Rais John Magufuli inayodaiwa kusimamisha mchakato mzima wa upanuzi wa mji wa Moshi kuwa Jiji ‘imewavuruga’ Madiwani wa Manispaa hiyo na...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017SERIKALI ya Korea Kaskazini imeionya Marekani isitumie njia za vikwazo zaidi wala za kijeshi dhidi ya Pyongyang, anaandika Hellen Sisya. Wizara ya Mambo...
By Masalu ErastoJuly 31, 2017JAMAL Malinzi, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Katibu wake, Selestine Mwesigwa sambamba na Mhasibu wa shirikisho hilo, Nsiande...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewapa siku mbili Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya kumaliza tofauti zao zinazokwamisha utendaji wa Halmashauri...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2017WIMBI la viongozi wa vyama vya upinzani mkoani Arusha kujiuzulu limeendelea kushika kasi baada ya Diwani wa Viti maalumu (CHADEMA ) wilaya ya ...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2017ALIYEKUWA mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila ameibuka na kusimulia kuwa sakata la Escrow ni miongoni mwa mambo yaliyosababisha akapata ugumu katika...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2017IMEELEZWA kuwa upungufu wa majengo ya kutolea tiba pamoja na vyumba vya kulaza wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Mbozi ni miongoni mwa...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2017ANGELINA Mabula, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, amemvua madaraka mkuu wa idara ya ardhi wa Wilaya ya Ukerewe, Elia Mtakama, kwa...
By Moses MsetiJuly 29, 2017VIONGOZI wa mkoa wa Songwe wametakiwa kushiriki kikamilifu kutatua migogogro ya ardhi ili kuzuia migogoro kati ya wakulima na wafugaji inayohatarisha usalama wa...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2017HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeliamuru Jeshi la Magereza na Mamlaka zinazohusika na mshtakiwa wa IPTL, Harbinder Seth kumpeleka katika Hospitali ya...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017JESHI la Polisi mkoani Mbeya kwa kushirikiana na askari wa TANAPA wamekamata pikipiki sita zikiwa zimepakia nyara za serikali katika pori la hifadhi...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017KATIBU wa Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Hillal Soud amefariki dunia jana nyumbani kwake Njiro majira ya...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017BARAZA Kuu la Uongozi la CUF, limeibuka na mapya juu ya sakata la kufukuzwa ubunge kwa wabunge wake wa Viti Maalumu, na kutoa...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017BARAZA Kuu la Uongozi la CUF, linatarajia kutoa tamko la chama hicho baada ya saa mbili zijazo. Kwa muda huu wajumbe wa Baraza...
By Hamisi MgutaJuly 28, 2017MKUU wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqqaro ameagiza walimu wakuu wa shule za sekondari kufundisha vipindi mbalimbali vya masomo ili kupunguza mrundikano wa...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017WANAWAKE wanaofanya biashara ya kuuza samaki maeneo ya stendi kuu ya mabasi mjini hapa wameilalamikia Halmashauri ya Mji wa Babati kuwaondoa kwa nguvu...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017SERIKALI imewataka viongozi wa Chama cha Wafugaji nchini pamoja na watetezi wa haki za wafugaji kuhakikisha wanaondoa migogoro ya wafugaji na wakulima ambayo...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameipongeza Serikali kwa kuifanya Kigoma kuwa bandari ya mwisho kwa mizigo inayokwenda Kongo na Burundi,...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017BARAZA kuu la uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), linakutana mchana huu mjini Zanzibar kwa lengo la kujadili mgogoro unaondelea ndani ya Chama...
By Hamisi MgutaJuly 28, 2017KIKAO cha Baraza la Mmadiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kimevunjika baada ya kukosekana kwa taarifa ya mapato na matumizi katika sekta...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amewaonya askari polisi kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi kesi huku akiahidi kwatimua kazi watakaobainika...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017SERIKALI imewataka viongozi wa dini kuacha kujiingiza kwenye siasa badala yake waendelee kuimarisha amani na mshikamano kwa jamii, anaandika Mwandishi Wetu. Mkuu wa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewaondolea hofu watumiaji wa mitandao ya simu wanaotaka kutumia huduma ya laini moja kwa mitandao yote kuwa hatawakosa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli, amewaagiza viongozi wa Manispaa na Mkoa wa Morogoro, kuwaacha wafanya biashara ndogondogo kuendelea kufanya...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Arusha, kinatarajia kuanza kazi ya kuchuja majina ya wanachama wake walioomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017SAKATA la malipo ya fidia kwa wakazi wanaopisha mradi wa bomba la mafuta vijiji vya Kata ya Chongoleani, limeingia sura mpya baada ya...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017ANGELINA Mabula, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kwimba, Pendo Malabeja, kuwachukulia hatua watumishi wote wanane wa...
By Moses MsetiJuly 27, 2017MARA baada ya kuachiwa huru na mahakama, Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ametupa dongo lingine kwa Rais John Magufuli kwa kumwambia kuwa...
By Masalu ErastoJuly 27, 2017TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, hatimaye amepata dhamana baada ya ombi la mawakili wa serikali la kuomba mahakam imnyime dhamana kutupiliwa mbali,...
By Masalu ErastoJuly 27, 2017JOB Ndugai, Spika wa Bunge amebariki kuvuliwa uanachama kwa wabunge nane wa Chama cha Wananchi (CUF) na anayedai kuwa Mwenyekiti halali wa chama...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017SERIKALI kupitia Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imeviagiza vyuo vikuu kote nchini kutoza kiasi cha pesa kisichozidi Sh. 10,000 kwa kila mwanafunzi...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017MFANYABIASHARA maarufu katika mtaa wa Swaswa kata ya Ipagala Manispaa ya Dodoma, Charles Kalinga mwenye umri wa miaka 43 amenusurika kifo baada ya...
By Danson KaijageJuly 26, 2017KAMPUNI ya masoko inayojishughulisha na ushauri na mikakati kwa wateja ZECHY Afrika imeandaa tamasha la kusheherekea utamaduni wa mtanzania (Chemichemi Canival) litakalofanyika mwezi...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017WAZIRI Mkuu, Kasimu Majaliwa leo amefungua rasmi maonyesho ya 12 ya vyuo vikuu hapa nchini, anaandika Victoria Chance. Maonyesho hayo ya siku tatu...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk.Harrison Mwakyembe, amewashukuru viongozi mbalimbali wa serikali na Watanzania wote kwa ujumla waliohusika kufanikisha shughuli nzima...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017BARAZA la Wawakilishi nchini Marekani limepiga kura ya kziwekea vikwazo nchi za Urusi, Korea Kaskazini na Iran kutokana na kufanya makosa mbalimbali, anaandika...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017MAWAKILI wanaowatetea wanachama 54 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema), wameshinda pingamizi la Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Geita, Mponjoli...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017MAHAKAMA ya Wilaya ya Dodoma imepiga kalenda kesi ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea hadi Agosti 23 Mwaka huu kutokana na uchunguzi wa...
By Danson KaijageJuly 26, 2017Mahakama ya Jinai nchini Misri imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwanul Muslimin, anaandika Hellen Sisya. Katika hukumu hiyo mahakama hiyo imesema...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017HALMASHAURI ya Buchosa Wilaya ya Sengerema, Mwanza, inakabiliwa na upungufu wa vifaa vya ofisi, vifaa vya uchoraji ramani na vifaa vya kutayarisha hati...
By Moses MsetiJuly 26, 2017