Saturday , 20 April 2024

Month: July 2017

Habari Mchanganyiko

Maambukizi ya VVU yapiga kambi kwa wanandoa

WATU waliofunga ndoa na kuunganika kuwa kama mwili mmoja na kuepukana na masuala ya kufanya ngono zembe, imebainishwa wao kwa sasa ndio wamekuwa...

Habari Mchanganyiko

Familia zatengwa na kijiji cha Mureru

FAMILIA mbili za Kijiji cha Mureru, Kata ya Lalaji, wilayani Hanang’ zimedasi kuishi kwa kuhofia maisha yao baada ya kutengwa na jamii kijijini...

Habari Mchanganyiko

Kanisa lanufaisha vijana 6,000 Arusha

KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, limewanufaisha kwa elimu ya malezi ya maadili mema zaidi ya vijana 6,000 itakayowawezesha kuwa na utu na...

Kimataifa

Algeria yajiita maskini jeuri

ALGERIA imesema haitachukua mkopo wa kigeni licha ya nchi hiyo kukabiliwa na matatizo mengi ya ndani hususani ya kiuchumi, anaandika Victoria Chance. Uchumi...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali inaua uchumi – Mbowe

SERIKALI imeshauriwa kuja na “mpango mkakati” wa namna itakavyorekebisha uchumi wa taifa ambao kwa maneno ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), “unaporomoka...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yadaka watendaji 12 Mbeya

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwakamata mara moja, kuwahoji na kuwafikisha mahakamani watendaji wakuu 12...

Habari Mchanganyiko

NHC yashusha neema kwa watumishi Mabarali

HALMASHAURI ya wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya imesema kuwa ili kupunguza adha ya Nyumba za kuishi kwa Watumishi wa Halmashauri hiyo,Baraza la Madiwani...

Habari za Siasa

Wananchi watawanywa kwa mabomu ya machozi Arumeru

MGOGORO wa kugombea mpaka kwa wakaazi wa Kijiji cha Momella, Kata ya Ngarenanyuki wilayani Arumeru na Hifadhi ya Taifa ya Arusha (Anapa) umechukua...

Habari za Siasa

Katibu wa Chadema afariki dunia

KATIBU mwenezi wa jimbo la Masasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilayani Masasi mkoani Mtwara, Patrick Jacobo (48) amefariki dunia ghafla...

Habari Mchanganyiko

Jiji la Dar es Salaam kinara wa matukio ya mauji

JIJI la Dar es Salaam linaongoza kwa matukio ya mauaji yatokanayo na watu kujichukulia sheria mkononi yaliyofikia 117 katika kipindi cha nusu mwaka...

Habari Mchanganyiko

Ndoto za Moshi kuwa jiji zayeyuka

AMRI ya Rais John Magufuli inayodaiwa kusimamisha mchakato mzima wa upanuzi wa mji wa Moshi kuwa Jiji ‘imewavuruga’ Madiwani wa Manispaa hiyo na...

Kimataifa

Korea Kaskazini yazidi kuililia Marekani

SERIKALI ya Korea Kaskazini imeionya Marekani isitumie njia za vikwazo zaidi wala za kijeshi dhidi ya Pyongyang, anaandika Hellen Sisya. Wizara ya Mambo...

MichezoTangulizi

Malinzi, Mwesigwa bado ngoma mbichi

JAMAL Malinzi, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Katibu wake, Selestine Mwesigwa sambamba na Mhasibu wa shirikisho hilo, Nsiande...

Habari Mchanganyiko

 Waziri Mkuu Majaliwa awatega Madiwani Kyela

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewapa siku mbili Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya kumaliza tofauti zao zinazokwamisha utendaji wa Halmashauri...

Habari za Siasa

Madiwani Chadema Arusha watawaliwa ‘umalaya’ wa kisiasa

WIMBI  la  viongozi wa  vyama  vya  upinzani  mkoani   Arusha  kujiuzulu  limeendelea  kushika  kasi  baada  ya  Diwani  wa Viti  maalumu  (CHADEMA ) wilaya  ya ...

Habari za SiasaTangulizi

Kafulila asimulia machungu aliyokutana nayo kwa Escrow

ALIYEKUWA mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila ameibuka na kusimulia kuwa sakata la Escrow ni miongoni mwa mambo yaliyosababisha akapata ugumu katika...

Habari za Siasa

Mbunge wa CCM amuangukia Waziri Mkuu Majaliwa

IMEELEZWA kuwa upungufu wa majengo ya kutolea tiba pamoja na vyumba vya kulaza wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Mbozi ni miongoni mwa...

Habari Mchanganyiko

Waziri amvua madaraka mkuu idara ardhi

ANGELINA Mabula, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, amemvua madaraka mkuu wa idara ya ardhi wa Wilaya ya Ukerewe, Elia Mtakama, kwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awapa kibarua watendaji Songwe

VIONGOZI wa mkoa wa Songwe wametakiwa kushiriki kikamilifu kutatua migogogro ya ardhi ili kuzuia migogoro kati ya wakulima na wafugaji inayohatarisha usalama wa...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yanusuru afya ya Seth wa IPTL

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeliamuru Jeshi la Magereza na Mamlaka zinazohusika na mshtakiwa wa IPTL,   Harbinder  Seth  kumpeleka katika Hospitali ya...

Habari Mchanganyiko

Majangili yatelekeza porini nyara za serikali

JESHI la Polisi mkoani Mbeya kwa kushirikiana  na askari wa TANAPA wamekamata pikipiki sita  zikiwa zimepakia nyara za serikali katika pori la hifadhi...

Habari za Siasa

CCM yapata pigo Arusha 

KATIBU wa Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi  (CCM) Mkoa wa Arusha, Hillal Soud amefariki dunia jana nyumbani kwake Njiro majira ya...

Habari za SiasaTangulizi

CUF ya Maalim Seif yaibuka na mapya

BARAZA Kuu la Uongozi la CUF, limeibuka na mapya juu ya sakata la kufukuzwa ubunge kwa wabunge wake wa Viti Maalumu, na kutoa...

Habari za SiasaTangulizi

CUF kutoa tamko saa mbili zijazo

BARAZA Kuu la Uongozi la CUF, linatarajia kutoa tamko la chama hicho baada ya saa mbili  zijazo. Kwa muda huu wajumbe wa Baraza...

Habari Mchanganyiko

Wakuu wa shule watakiwa kuacha kula ‘shushu’

MKUU wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqqaro ameagiza walimu wakuu wa shule za sekondari kufundisha vipindi mbalimbali vya masomo ili kupunguza mrundikano wa...

Habari Mchanganyiko

Wanawake Babati walalamikia kuswekwa Rumande

WANAWAKE wanaofanya biashara ya kuuza samaki  maeneo ya  stendi  kuu ya mabasi mjini hapa wameilalamikia Halmashauri ya Mji wa Babati kuwaondoa  kwa nguvu...

Habari Mchanganyiko

Migogoro ya wafugaji kutafutiwa dawa

SERIKALI imewataka viongozi wa Chama cha Wafugaji nchini pamoja na watetezi wa haki za wafugaji kuhakikisha wanaondoa migogoro ya wafugaji na wakulima ambayo...

Habari za Siasa

Zitto Kabwe aipongeza serikali ya Magufuli

MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameipongeza Serikali kwa kuifanya Kigoma kuwa bandari ya mwisho kwa mizigo inayokwenda Kongo na Burundi,...

Habari za SiasaTangulizi

CUF ya Malim Seif yajichimbia Zanzibar

BARAZA kuu la  uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), linakutana mchana huu mjini Zanzibar kwa lengo la kujadili mgogoro unaondelea ndani ya Chama...

Habari za Siasa

Madiwani halmashauri Shinyanga wanusa ufisadi

KIKAO cha Baraza la Mmadiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kimevunjika baada ya kukosekana kwa taarifa ya mapato na matumizi katika sekta...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro kutimua Polisi wabambika kesi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amewaonya askari polisi kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi kesi huku akiahidi kwatimua kazi watakaobainika...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa dini wapewa neno Arusha

SERIKALI imewataka viongozi wa dini kuacha kujiingiza kwenye siasa badala yake waendelee kuimarisha amani na mshikamano kwa jamii, anaandika Mwandishi Wetu. Mkuu wa...

Habari Mchanganyiko

Watumiaji wa simu waondolewa hofu

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewaondolea hofu watumiaji wa mitandao ya simu wanaotaka kutumia huduma ya laini moja kwa mitandao yote kuwa hatawakosa...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ‘amparula’ hadharani Mbunge wake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli, amewaagiza viongozi wa Manispaa na Mkoa wa Morogoro, kuwaacha wafanya biashara ndogondogo kuendelea kufanya...

Habari za Siasa

CCM Arusha kuanza kutibuana wiki hii

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Arusha, kinatarajia kuanza kazi ya kuchuja majina ya wanachama wake walioomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Wananchi waingiwa hofu malipo ya fidia Tanga

SAKATA la malipo ya fidia kwa wakazi wanaopisha mradi wa bomba la mafuta vijiji vya Kata ya Chongoleani, limeingia sura mpya baada ya...

Habari za Siasa

Waziri aagiza watumishi wanane ‘watumbuliwe’

ANGELINA Mabula, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kwimba, Pendo Malabeja, kuwachukulia hatua watumishi wote wanane wa...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu: Hatutanyamaza

MARA baada ya kuachiwa huru na mahakama, Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ametupa dongo lingine kwa Rais John Magufuli kwa kumwambia kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu aibwaga serikali, apata dhamana

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, hatimaye amepata dhamana baada ya ombi la mawakili wa serikali la kuomba mahakam imnyime dhamana kutupiliwa mbali,...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai abariki timua timua ya Prof. Lipumba

JOB Ndugai, Spika wa Bunge amebariki kuvuliwa uanachama kwa wabunge nane wa Chama cha Wananchi (CUF) na anayedai kuwa Mwenyekiti halali wa chama...

Elimu

TCU yafafanua ada ya usajili wanavyuo

SERIKALI kupitia Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imeviagiza vyuo vikuu kote nchini kutoza kiasi cha pesa kisichozidi Sh. 10,000 kwa kila mwanafunzi...

Habari Mchanganyiko

Mfanyabiashara amshikia kisu mwanafunzi ambaka

MFANYABIASHARA maarufu katika mtaa wa Swaswa kata ya Ipagala Manispaa ya Dodoma, Charles Kalinga mwenye umri wa miaka 43 amenusurika kifo baada ya...

Habari Mchanganyiko

Tamasha la utamaduni kufanyika Dar

KAMPUNI ya masoko inayojishughulisha na ushauri na mikakati kwa wateja ZECHY Afrika imeandaa tamasha la kusheherekea utamaduni wa mtanzania (Chemichemi Canival) litakalofanyika mwezi...

Elimu

Maonyesho ya vyuo vikuu yafunguliwa Dar

WAZIRI Mkuu, Kasimu Majaliwa leo amefungua rasmi maonyesho ya 12 ya vyuo vikuu hapa nchini, anaandika Victoria Chance. Maonyesho hayo ya siku tatu...

Habari Mchanganyiko

Mwakyembe awashukuru Watanzania

WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk.Harrison Mwakyembe, amewashukuru viongozi mbalimbali wa serikali na Watanzania wote kwa ujumla waliohusika kufanikisha shughuli nzima...

Kimataifa

Marekani yaziwekea vikwazo Urusi, Korea

BARAZA la Wawakilishi nchini Marekani limepiga kura ya kziwekea vikwazo nchi za Urusi, Korea Kaskazini na Iran kutokana na kufanya makosa mbalimbali, anaandika...

Habari za Siasa

Wanachama 54 Chadema wambwaga OCD wa Geita

MAWAKILI wanaowatetea wanachama 54 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema), wameshinda pingamizi la Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Geita, Mponjoli...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea aliamsha ‘dude’ mahakamani Dodoma

MAHAKAMA ya Wilaya ya Dodoma imepiga kalenda kesi ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea hadi Agosti 23 Mwaka huu kutokana na uchunguzi wa...

Kimataifa

Wanaharakati wahukumiwa kifungo cha maisha nchini Misri

Mahakama ya Jinai nchini Misri imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwanul Muslimin, anaandika Hellen Sisya. Katika hukumu hiyo mahakama hiyo imesema...

Habari Mchanganyiko

Buchosa yakabiliwa na uhaba wa watumishi, vifaa

HALMASHAURI ya Buchosa Wilaya ya Sengerema, Mwanza, inakabiliwa na upungufu wa vifaa vya ofisi, vifaa vya uchoraji ramani na vifaa vya kutayarisha hati...

error: Content is protected !!