PAMOJA na jitihada zinazofanywa na serikali, katika kuzuia uhalifu unaofanywa na baadhi ya waendesha bodaboda na bajaji, bado kundi hilo limeendelea kuwa tishio...
By Danson KaijageJune 14, 2017MBUNGE wa Same Mashariki, Nagenjwa Kaboyoka (Chadema) ameitaka serikali kutoa kutangaza bei elekezi kwa wakulima wa tangawizi kutokana na wakulima wengi wa tangawizi...
By Danson KaijageJune 14, 2017ASKARI wa kikosi cha Valantia (KVZ) wanaojulikana kwa umaarufu kama “mazombi” wamemjeruhi mchuuzi wa bidhaa za mkononi kwa kumpiga, kumchoma moto na kumtelekeza...
By Jabir IdrissaJune 14, 2017MTOTO Miriam Michael (6) mkazi wa Ilembo kata Nsalala wilaya ya Mbeya amefariki dunia baada ya kula mboga za majani zinazodhaniwa kuwa na...
By Mwandishi WetuJune 14, 2017SERIKALI imeziagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha zinapima ardhi kwa lengo la kuondokana na migogoro ambayo ambayo imekuwa ikijitokeza katika maeneo mbalimbali, anaandika Dany...
By Danson KaijageJune 14, 2017WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Ndola, iliyopo kata ya Nsalala, Mbalizi, mkoani Mbeya, wanalazimika kukaa chini ya miti kujisomea kutokana na upungufu wa...
By Mwandishi WetuJune 14, 2017WAKAZI wa jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika vituo mbalimbali vya kuchangia damu salama, kwa lengo kuongezewa katika benki ya...
By Mwandishi WetuJune 14, 2017JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania amevijia juu vyombo vya habari vinavyowataja na kuwahusisha marais wastaafu Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete kwenye ripoti ya...
By Hamisi MgutaJune 14, 2017Anne Makinda, Spika mstaafu wa bunge la Tanzania, amesihi wanawake kusaidia wanawake wenzao kupata fursa walizotumia katika kufanikiwa maishani badala ya kufanya khiyana,...
By Mwandishi WetuJune 14, 2017TAASISI isiyokuwa ya kiserikali inayojihusisha na masuala ya kulinda na kutetea haki za wanawake Tanzania (Tasuwori) imezitaka Azaki zote nchini kuungana na kuwa...
By Christina HauleJune 14, 2017WAKATI serikali ikikataza uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kuwa halikushirikishwa kwa kuwa wao ndio wasimamizi wakuu, Celestine Mwesigwa,...
By Mwandishi WetuJune 14, 2017Marekani inasema itaziwekea vikwazo nchi ambazo zinafanya biashara haramu na Korea Kaskazini, anaandika Hamisi Mguta. Rex Tillerson, Waziri wa Mashauri ya nchi za...
By Hamisi MgutaJune 14, 2017