Thursday , 25 April 2024

Day: June 14, 2017

Habari Mchanganyiko

Wahalifu wanaotumia Bodaboda, Bajaji waongezeka Dar

PAMOJA na jitihada zinazofanywa na serikali, katika kuzuia uhalifu unaofanywa na baadhi ya waendesha bodaboda na bajaji, bado kundi hilo limeendelea kuwa tishio...

Biashara

Kaboyoka alipigia chapuo zao la tangawizi

MBUNGE wa Same Mashariki, Nagenjwa Kaboyoka (Chadema) ameitaka serikali kutoa kutangaza bei elekezi kwa wakulima wa tangawizi kutokana na wakulima wengi wa tangawizi...

Habari Mchanganyiko

Mazombi wamchoma mchuuzi

ASKARI wa kikosi cha Valantia (KVZ) wanaojulikana kwa umaarufu kama “mazombi” wamemjeruhi mchuuzi wa bidhaa za mkononi kwa kumpiga, kumchoma moto na kumtelekeza...

Habari Mchanganyiko

Mtoto afariki baada kula mboga ya majani

MTOTO Miriam Michael (6) mkazi wa Ilembo kata Nsalala  wilaya ya Mbeya amefariki dunia baada ya kula mboga za majani zinazodhaniwa kuwa na...

Habari Mchanganyiko

Jaffo azitaka halmashauri kupima maeneo

SERIKALI imeziagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha zinapima ardhi kwa lengo la kuondokana na migogoro ambayo ambayo imekuwa ikijitokeza katika maeneo mbalimbali, anaandika Dany...

Elimu

Wanafunzi Mbeya wasoma chini ya mti

WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Ndola, iliyopo kata ya Nsalala, Mbalizi, mkoani Mbeya, wanalazimika kukaa chini ya miti kujisomea kutokana na upungufu wa...

Habari Mchanganyiko

Wakazi wa Dar wajitokeza kuchangia damu

WAKAZI wa jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika vituo mbalimbali vya kuchangia damu salama, kwa lengo kuongezewa katika benki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli awakingia kifua Mkapa, Kikwete sakata la madini

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania amevijia juu vyombo vya habari vinavyowataja na kuwahusisha marais wastaafu Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete kwenye ripoti ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Makinda: Tusizibie wenzetu fursa

Anne Makinda, Spika mstaafu wa bunge la Tanzania,  amesihi wanawake kusaidia wanawake wenzao kupata fursa walizotumia katika kufanikiwa maishani badala ya kufanya khiyana,...

Habari Mchanganyiko

Azaki zatakiwa kulinda haki za wanawake

TAASISI isiyokuwa ya kiserikali inayojihusisha na masuala ya kulinda na kutetea haki za wanawake Tanzania (Tasuwori) imezitaka Azaki zote nchini kuungana na kuwa...

Michezo

TFF waishangaa BMT kuzuia uchaguzi

WAKATI serikali ikikataza uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kuwa halikushirikishwa kwa kuwa wao ndio wasimamizi wakuu, Celestine Mwesigwa,...

Kimataifa

Marekani kuwawekea vikwazo washirika wa Korea Kaskazini

Marekani inasema itaziwekea vikwazo nchi ambazo zinafanya biashara haramu na Korea Kaskazini, anaandika Hamisi Mguta. Rex Tillerson, Waziri wa Mashauri ya nchi za...

error: Content is protected !!