Friday , 19 April 2024

Day: June 2, 2017

Kimataifa

Chanjo yaua 15 Sudan Kusini

SERIKALI ya Sudan kusini imesema watoto wapatao 15 wamekufa ikiwa ni matokeo ya makosa yaliyofanyika katika jaribio la kuwakinga na surua, anaandika Hamisi...

Habari za Siasa

Kubenea awalipua Mwakyembe, Mwambalasa

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo Saed Kubenea (Chadema) amewalipua Dk. Harrison Mwakyembe na Victor Mwambalasa kuwa ni miongoni mwa watu ambao wanahusika katika kupitisha...

Habari Mchanganyiko

Madini kibao yagundulika Ukanda wa Pwani

SERIKALI imekiri kwamba kwenye Ukanda wa Pwani ya Tanzania kunapatikana madini ya aina mbalimbali ambayo ni barite, chokaa, chumvi, clay, dhahabu, flourite, jasi,...

Habari za Siasa

Mgogoro Poli Tengefu la Loliondo wadumu miaka 25

MBUNGE wa Viti Maalum, Catherine Magige (CCM) amehoji kuhusina na ni lini serikali itatatua mgogoro wa Pori Tengefu la Loliondo uliodumu zaidi ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali wagoma kuifuta kodi ya umiliki wa vyombo vya moto

SERIKALI imesema ada ya mwaka ya Magari (Annual Motor Vehicle Lincese Ownership Fees) inatozwa kwa wamiliki wa vyombo vya moto kwa mujibu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai amtupa ‘jela’ Mnyika, Wapinzani wasusa

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameamuru askari wa Bunge wamtoe nje, John Mnyika, Mbunge wa Kibamba na iutohudhuria vikao saba la bunge hilo...

Habari Mchanganyiko

Tusaidieni mitaji, vifungashio bora – Wajasliamali

SERIKALI imeombwa kuhakikisha inaweka mipango na mikakati madhubuti ya kuwawezesha wajasiliamali wadogo nchini wanaomiliki viwanda vidogo, ili waweze kukuza mitaji yao, anaandika Moses...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali haimjui aliyebuni Nembo ya Taifa

SERIKALI imesema mpaka sasa haijafahamika ni nani aliyebuni nembo ya taifa tofauti na ilivyokuwa ikijulikana kuwa aliyebuni nembo hiyo ni Francis Ngosha (80)...

error: Content is protected !!