Tuesday , 23 April 2024

Month: May 2017

MichezoTangulizi

Chelsea mabingwa England

KLABU ya Chelsea ya jijini London, Uingereza, imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka England msimu wa 2016/17, baada ya kuifunga West Bromwich,...

Habari za Siasa

Wabunge, Spika watoa Sh. 100 milioni kwa wafiwa

WABUNGE wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameadhimia kutoa milioni 86 pesa za posho ya kikao cha siku kwa ajili ya...

Tangulizi

Arusha, Tanzania yazizima, kuaga miili 36

TAYARI zoezi la kuaga miili 36 ambayo ni ya wanafunzi 33, walimu 2 na dereva wao waliofariki katika ajali ya gari Karatu mkoani...

Habari Mchanganyiko

Wazee wa mahakama kuongezewa posho

SERIKALI inaangalia uwezekano wa kuongeza posho ya wazee wa mabaraza ya Mahakama kutokana na kiwango cha Sh. 5,000 kinacholipwa hivi sasa kwa wazee...

Habari za Siasa

Hazina waisusia mishahara Lushoto

HALMASHAURI ya wilaya ya Lushoto inatumia zaidi ya Sh. 28 milioni kulipa mishahara ya watumishi kila mwezi Bunge limeelezwa, anaandika Dany Tibason. Mbunge...

Habari za SiasaTangulizi

Shilingi 29 bil kujenga kituo kipya cha Ubungo

UJENZI wa kituo kipya cha Mabasi cha Ubungo kinachotarajiwa kujengwa maeneo ya Mbezi Luis kinakadiliwa kutumia Sh. 28.72 bilioni, anaandika Dany Tibason. Naibu...

Habari Mchanganyiko

Vijana milioni 4 kupata mafunzo

SERIKALI imesema inatekeleza programu ya miaka mitano ya kukuza ujuzi inayolenga kuwezesha vijana 4,419,074 kupata ujuzi wa kuajiliwa au kujiajiri katika sekta mbalimbali,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ajali Karatu, wanafunzi 32 wathibitishwa kupoteza maisha

KAMANDA wa Polisi, mkoani Arusha, Charles Mkumbo amethibitisha kuwa watu 32 wamefariki katika ajali iliyotokea wilayani Karatu, eneo la Rhotia Marera, anaandika Hamisi Mguta. Waliofariki...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM mdaiwa sugu

JUMANNE Kishimba, Mbunge wa Kahama mkoani Shinyanga (CCM) anatuhumiwa kushindwa kulipa kodi ya ardhi kiasi cha Sh. 2.7 milioni kwa kipindi cha mwaka...

Habari Mchanganyiko

Wakwepa kodi 310 waburuzwa kortini

OFISI ya Kamishna wa Ardhi Kanda ya Ziwa, imewafikisha mahakamani wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi 310, walioshindwa kulipa kodi hiyo kwa kipindi...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Mdee huru kesi ya kumshika matiti RAS

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru wabunge wa Ukawa na madiwani wawili waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kumjeruhi Katibu Tawala wa Mkoa...

Habari za Siasa

Waziri hajui gharama za kukimbiza Mwenge

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameshindwa kujua bajeti ya ukimbizaji...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Bila kulipwa mtumishi asihame

SERIKALI imepiga marufuku tabia ya baadhi ya wakurugenzi ambao wanawahamisha watumishi bila kuwa na bajeti ya kuwalipa fedha zao, anaandika Dany Tibason. Kauli...

Habari Mchanganyiko

Mbunge ahoji wajane kurithiwa

MBUNGE wa Mtambile, Masoud Abdallah Saim (CUF) ameihijo serikali ina mipango gani ya kupiga marufuku tabia ya watu kurithi wajane, anaandika Dany Tibason....

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Fedha za Bombadier zingejenga hospitali za Ocean Road tano

MBUNGE wa Tunduma, Frank Mwakajoka (Chadema) amesema anasikitisha kuona serikali inakimbilia kutoa mabilioni ya fedha kununua ndege wakati hali ya afya ni mbaya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Mwakyembe: Marufuku magazeti kuswoma kwenye redio na tv

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harison Mwakyembe amepiga marufuku watangazaji wa vipindi vya magazeti kwenye redio na televisheni kusoma habari...

Habari Mchanganyiko

Bei za vifaa vya ujenzi kikwazo makazi bora

MBUNGE wa Viti Maalum, Upendo Peneza (Chadema) ameitaka serikali iangalie uwezekano wa kupunguza kodi katika vifaa vya ujenzi ili wananchi waweze kujenga nyumba...

AfyaHabari Mchanganyiko

Magari ya chanjo yatumika kukusanya kodi

SERIKALI imepiga marufuku halmashauri zote nchini kutumia magari ya chanjo kwa ajili ya kukusanya mapato anaandika Dany Tibason. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri...

Habari Mchanganyiko

Mbunge aibana serikali shamba la NBC

MBUNGE wa Viti Maalum, Rhoda Kunchele (Chadema) ameitaka serikali ieleze ni lini itakuwa tayari kutatua mgogoro wa shamba lililokuwa likimilikiwa na NBC katika...

Habari za Siasa

Mtatiro: Kambaya mimi sio ‘size’ yako

JULIUS Mtatiro, Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi CUF, amesema hawezi kukutana na Abdul Kambaya, Naibu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF,  kujadili...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee atupwa ‘jela,’ Mbowe asamehewa

KAMATI ya Haki na Maadili ya Bunge imetoa adhabu kwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kutohudhuria vikao vya Bunge la Bajeti vilivyobaki baada...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi walia na mshahara mdogo

SHIRIKISHO la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TCTA) Mkoa wa Dodoma, kipato cha mshahara kwa mfanyakazi kwa mwezi hakikidhi mahitaji kwa mfanyakazi, anaandika Dany...

error: Content is protected !!