Saturday , 20 April 2024

Day: May 22, 2017

Habari Mchanganyiko

Mradi wa maji Ngudu wakamilika

SERIKALI imetekeleza mradi wa majisafi kutoka Ziwa Victoria kwenda katika mji wa Ngudu na vijiji vilivyopo kando kando ya bomba linalopeleka maji katika...

Elimu

Serikali wahimiza shule kujengwa, wagoma kusajili

MBUNGE wa Igalula Musa Ntimizi (CCM) ameihoji serikali sababu ya kutozisajili shule shikizi zilizojengwa karibu na makazi ya wananchi, anaandika Dany Tibason. Akiuliza...

Afya

Serikali yasisitiza wajawazito kutibiwa bure

SERIKALI imesisitiza kuwa sera ya Afya ya mwaka 2007 inaeleza kuwa huduma za kina mama wajawazito katika vituo vya ngazi zote zinatakiwa kutolewa...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara wapigiwa debe bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Jesca Kishoa (Chadema) amehoji ni kwanini serikali haioni haja ya kuwasaidia wafanyabiashara kwa kuwapa riba yenye mikopo nafuu ili...

Habari Mchanganyiko

Viatirifu feki lita 14,600 vyakamatwa

SERIKALI imekiri kuwepo changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na uingizwaji wa dawa za mifugo na kilimo ambazo hazikidhi viwango, anaandika Dany Tibason. Mbali...

Habari Mchanganyiko

Michango ya Mwenge yatinga bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Rhoda Kunchela (Chadema) ameomba mwongozo wa kutaka Mwenyekiti wa Bunge Andrew Chenge kuharisha shughuli za bunge kwa lengo la...

error: Content is protected !!