BOHARI ya Dawa hapa nchini (MSD) leo imetangaza hali ya kuridhisha ya upatikanaji wa dawa na kusema hadi kufikia mwishoni mwa mwezi huu...
By Pendo OmaryJanuary 10, 2017SHILINGI 369.4 milioni mali ya Chama Cha Wananchi (CUF) zinadaiwa kutoroshwa kutoka Hazina ya Serikali Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku...
By Pendo OmaryJanuary 10, 2017HALI ya njaa inayoelezwa kuwepo hapa nchini kwa sasa inadaiwa kusababisha baadhi ya Watanzania kuvuka mpaka na kuingia nchini Kenya kusaka chakula, anaandika...
By Charles WilliamJanuary 10, 2017HATIMAYE klabu ya Azam Fc imeingia mkataba wa miezi sita na Aristica Cioba 45, raia wa Romania kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo...
By Masalu ErastoJanuary 10, 2017JESHI la Polisi nchini limemuondoa Ally Mkaripa, Mkuu wa Polisi (OCD) wa Wilaya ya Ukerewe, Mwanza katika nafasi hiyo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo...
By Moses MsetiJanuary 10, 2017YOWERI Museveni, Rais wa Uganda amefanya mabadiliko katika jeshi la nchi hiyo kwa kumteua David Muhoozi kushika nafasi ya Mkuu wa Majeshi (CDF),...
By Masalu ErastoJanuary 10, 2017ZAIDI ya wastaafu 300 kutoka wilaya za Nyamagana na Ilemela Mkoani Mwanza, wameilalamikia Serikali kwa kuwakata makato makubwa ya pensheni zao za kila...
By Moses MsetiJanuary 10, 2017SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Dunia (Fifa) kupitia wajumbe wake, wamefikia makubaliano ya kuongeza idadi za timu kufikia 48 kutoka 32 zilizokuwa zikishiriki...
By Masalu ErastoJanuary 10, 2017HATIMAYE washindi katika tuzo za FIFA (The FIFA best Awards) wamefahamika jana katika hafla iliyofanyika Zurich, huku Cristiano Ronaldo akiibuka kuwa mchezaji bora...
By Masalu ErastoJanuary 10, 2017NI wazi sasa Dk. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar anavurugwa na harakati zinazofanywa na Maalim Seif Sharif ndani na nje ya Zanzibar,...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2017